PDF —
11 Aya Makka PDF
Built right in your browser — download starts automatically

Sura Al-Qari'a pdf — Pakua (Kiswahili)

Sura Al-Qari'a pdf Kiswahili — Pakua Sura Al-Qari'a Tafsiri. Sura Al-Qari'a (Makka) 11 Aya.



11 Aya · Makka · Kiswahili
bismillah
ﭴﭵ
101:1 Inayo gonga!
ﭶﭷﭸ
101:2 Nini Inayo gonga?
ﭹﭺﭻﭼﭽ
101:3 Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?
ﭾﭿﮀﮁﮂﮃ
101:4 Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
ﮄﮅﮆﮇﮈ
101:5 Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
ﮉﮊﮋﮌﮍ
101:6 Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
ﮎﮏﮐﮑﮒ
101:7 Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.
ﮓﮔﮕﮖﮗ
101:8 Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
ﮘﮙﮚ
101:9 Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!
ﮛﮜﮝﮞﮟ
101:10 Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?
ﮠﮡﮢ
101:11 Ni Moto mkali!

Kurani Tukufu


Wednesday, September 9, 2026

Usitusahau katika dua zako njema