Sura Al-Qari'a pdf — Pakua (Kiswahili)
Sura Al-Qari'a pdf Kiswahili — Pakua Sura Al-Qari'a Tafsiri. Al-Qari'a (Makka) 11 Aya.
Related
- Al-Qari'a TafsiriKiswahili
- Al-Qari'a mp3Sikiliza
- Quran Index Kiswahili114
More Sura PDF
Sura Al-Qari'a

ﭴﭵ
Inayo gonga!
ﭶﭷﭸ
Nini Inayo gonga?
ﭹﭺﭻﭼﭽ
Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?
ﭾﭿﮀﮁﮂﮃ
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
ﮄﮅﮆﮇﮈ
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
ﮉﮊﮋﮌﮍ
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
ﮎﮏﮐﮑﮒ
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.
ﮓﮔﮕﮖﮗ
Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
ﮘﮙﮚ
Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!
ﮛﮜﮝﮞﮟ
Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?
ﮠﮡﮢ
Ni Moto mkali!
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







