PDF —
11 Aya Makka PDF
Built right in your browser — download starts automatically

Sura Al-Qari'a pdf — Pakua (Kiswahili)

Sura Al-Qari'a pdf Kiswahili — Pakua Sura Al-Qari'a Tafsiri. Al-Qari'a (Makka) 11 Aya.



11 Aya · Makka · Kiswahili
bismillah
ﭴﭵ
Inayo gonga!
ﭶﭷﭸ
Nini Inayo gonga?
ﭹﭺﭻﭼﭽ
Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?
ﭾﭿﮀﮁﮂﮃ
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
ﮄﮅﮆﮇﮈ
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
ﮉﮊﮋﮌﮍ
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
ﮎﮏﮐﮑﮒ
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.
ﮓﮔﮕﮖﮗ
Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
ﮘﮙﮚ
Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!
ﮛﮜﮝﮞﮟ
Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?
ﮠﮡﮢ
Ni Moto mkali!

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema