Sura At-Tin
8 Aya · Makka · Kiswahili
bismillah
ﭫﭬﭭ
Naapa kwa tini na zaituni!
ﭮﭯﭰ
Na kwa Mlima wa Sinai!
ﭱﭲﭳﭴ
Na kwa mji huu wenye amani!
ﭵﭶﭷﭸﭹﭺﭻ
Bila ya shaka tumemuumba mtu kwa umbo lilio bora kabisa.
ﭼﭽﭾﭿﮀ
Kisha tukamrudisha kuwa chini kuliko walio chini!
ﮁﮂﮃﮄﮅﮆﮇﮈﮉﮊ
Lakini wale walio amini na wakatenda mema, hao watapata ujira usio kwisha.
ﮋﮌﮍﮎﮏ
Basi ni kipi baadaye kitacho kukukadhibishia malipo?
ﮐﮑﮒﮓﮔ
Kwani Mwenyezi Mungu si muadilifu kuliko mahakimu wote?

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema