Sura Al-'Alaq pdf — Pakua (Kiswahili)
Sura Al-'Alaq pdf Kiswahili — Pakua Sura Al-'Alaq Tafsiri. Sura Al-'Alaq (Makka) 19 Aya.
Related
- Sura Al-'Alaq TafsiriKiswahili
- Sura Al-'Alaq mp3Sikiliza
- Quran Index Kiswahili114
More Sura PDF
Sura Al-'Alaq

ﮕﮖﮗﮘﮙﮚ
96:1
Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba,
ﮛﮜﮝﮞﮟ
96:2
Amemuumba binaadamu kwa tone la damu,
ﮠﮡﮢﮣ
96:3
Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote!
ﮤﮥﮦﮧ
96:4
Ambaye amefundisha kwa kalamu.
ﮨﮩﮪﮫﮬﮭ
96:5
Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui.
ﮮﮯﮰﮱﯓ
96:6
Kwani! Hakika mtu bila ya shaka huwa jeuri
ﯔﯕﯖﯗ
96:7
Akijiona katajirika.
ﯘﯙﯚﯛﯜ
96:8
Hakika kwa Mola wako Mlezi ndio marejeo.
ﯝﯞﯟﯠ
96:9
Umemwona yule anaye mkataza
ﯡﯢﯣﯤ
96:10
Mja anapo sali?
ﯥﯦﯧﯨﯩﯪ
96:11
Umeona kama yeye yuko juu ya uwongofu?
ﯫﯬﯭﯮ
96:12
Au anaamrisha uchamngu?
ﭑﭒﭓﭔﭕ
96:13
Umeona kama yeye akikanusha na anarudi nyuma?
ﭖﭗﭘﭙﭚﭛ
96:14
Hajui ya kwamba Mwenyezi Mungu anaona?
ﭜﭝﭞﭟﭠﭡﭢ
96:15
Kwani! Kama haachi, tutamkokota kwa shungi la nywele!
ﭣﭤﭥﭦ
96:16
Shungi la uwongo, lenye makosa!
ﭧﭨﭩ
96:17
Basi na awaite wenzake!
ﭪﭫﭬ
96:18
Nasi tutawaita Mazabania!
ﭭﭮﭯﭰﭱﭲﭳ
96:19
Hasha! Usimt'ii! Nawe sujudu na ujongee!
Kurani Tukufu
Wednesday, September 9, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







