Sura Az-Zalzala pdf — Pakua (Kiswahili)
Sura Az-Zalzala pdf Kiswahili — Pakua Sura Az-Zalzala Tafsiri. Sura Az-Zalzala (Madina) 8 Aya.
Related
- Sura Az-Zalzala TafsiriKiswahili
- Sura Az-Zalzala mp3Sikiliza
- Quran Index Kiswahili114
More Sura PDF
Sura Az-Zalzala

ﮅﮆﮇﮈﮉ
99:1
Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!
ﮊﮋﮌﮍ
99:2
Na itakapo toa ardhi mizigo yake!
ﮎﮏﮐﮑﮒ
99:3
Na mtu akasema: Ina nini?
ﮓﮔﮕﮖ
99:4
Siku hiyo itahadithia khabari zake.
ﮗﮘﮙﮚﮛ
99:5
Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!
ﮜﮝﮞﮟﮠﮡﮢ
99:6
Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!
ﮣﮤﮥﮦﮧﮨﮩ
99:7
Basi anaye tenda chembe ya wema, atauona!
ﮪﮫﮬﮭﮮﮯﮰ
99:8
Na anaye tenda chembe ya uovu atauona!
Kurani Tukufu
Wednesday, September 9, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







