Sura Az-Zalzala
PDF —
8 Aya Madina PDF
Built right in your browser — download starts automatically

Sura Az-Zalzala pdf — Pakua (Kiswahili)

Sura Az-Zalzala pdf Kiswahili — Pakua Sura Az-Zalzala Tafsiri. Az-Zalzala (Madina) 8 Aya.



Sura Az-Zalzala
8 Aya · Madina · Kiswahili
bismillah
ﮅﮆﮇﮈﮉ
Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!
ﮊﮋﮌﮍ
Na itakapo toa ardhi mizigo yake!
ﮎﮏﮐﮑﮒ
Na mtu akasema: Ina nini?
ﮓﮔﮕﮖ
Siku hiyo itahadithia khabari zake.
ﮗﮘﮙﮚﮛ
Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!
ﮜﮝﮞﮟﮠﮡﮢ
Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!
ﮣﮤﮥﮦﮧﮨﮩ
Basi anaye tenda chembe ya wema, atauona!
ﮪﮫﮬﮭﮮﮯﮰ
Na anaye tenda chembe ya uovu atauona!

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema