Sura Az-Zalzala
PDF —
Built right in your browser — download starts automatically
Sura Az-Zalzala pdf — Pakua (Kiswahili)
Sura Az-Zalzala pdf Kiswahili — Pakua Sura Az-Zalzala Tafsiri. Az-Zalzala (Madina) 8 Aya.
Related
- Az-Zalzala TafsiriKiswahili
- Az-Zalzala mp3Sikiliza
- Quran Index Kiswahili114
More Sura PDF
Sura Az-Zalzala

ﮅﮆﮇﮈﮉ
Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!
ﮊﮋﮌﮍ
Na itakapo toa ardhi mizigo yake!
ﮎﮏﮐﮑﮒ
Na mtu akasema: Ina nini?
ﮓﮔﮕﮖ
Siku hiyo itahadithia khabari zake.
ﮗﮘﮙﮚﮛ
Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!
ﮜﮝﮞﮟﮠﮡﮢ
Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!
ﮣﮤﮥﮦﮧﮨﮩ
Basi anaye tenda chembe ya wema, atauona!
ﮪﮫﮬﮭﮮﮯﮰ
Na anaye tenda chembe ya uovu atauona!
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







