Yusuf · 1/111
Tafsiri Uandishi wa sauti — Yusuf
الر ۚ تِلْكَ آيَاتُ الْكِتَابِ الْمُبِينِ ۝١
Alif-Laaam-Raa; tilka Aayaatul Kitaabil Mubeen
📖 Kwa Kiswahili
Alif Lam Raa. Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-3 — Yusuf

1الر ۚ تِلْكَ آيَاتُ الْكِتَابِ الْمُبِينِ
Alif Lam Raa. Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
2إِنَّا أَنزَلْنَاهُ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لَّعَلَّكُمْ تَعْقِلُونَ
Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani kwa Kiarabu ili mpate kuzingatia.
3نَحْنُ نَقُصُّ عَلَيْكَ أَحْسَنَ الْقَصَصِ بِمَا أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ هَٰذَا الْقُرْآنَ وَإِن كُنتَ مِن قَبْلِهِ لَمِنَ الْغَافِلِينَ
Sisi tunasimulia simulizi nzuri kwa kukufunulia Qur'ani hii. Na ijapo kuwa kabla ya haya ulikuwa miongoni mwa wasio jua.
YusufFaharasa ya Qurani
111Aya
MakkaRevelation
1Aya

Tafsiri — Yusuf 1

Sura Yusuf Aya 1 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Alif Lam Raa. Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.

Sura Aya 1/111 — Yusuf يوسف (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Yusuf Sikiliza, Yusuf Tafsiri, Yusuf mp3, Yusuf pdf. Aya 1–3. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema