Taha · 26/135
Tafsiri Uandishi wa sauti — Taha
وَيَسِّرْ لِي أَمْرِي ۝٢٦
Wa yassir leee amree
📖 Kwa Kiswahili
Na unifanyie nyepesi kazi yangu,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 24-28 — Taha

24اذْهَبْ إِلَىٰ فِرْعَوْنَ إِنَّهُ طَغَىٰ
Nenda kwa Firauni; kwani hakika yeye amepindukia mipaka.
25قَالَ رَبِّ اشْرَحْ لِي صَدْرِي
(Musa) akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Nikunjulie kifua changu,
26وَيَسِّرْ لِي أَمْرِي
Na unifanyie nyepesi kazi yangu,
27وَاحْلُلْ عُقْدَةً مِّن لِّسَانِي
Na ulifungue fundo lililo katika ulimi wangu,
28يَفْقَهُوا قَوْلِي
Wapate kufahamu maneno yangu.
TahaFaharasa ya Qurani
135Aya
MakkaRevelation
26Aya

Tafsiri — Taha 26

Sura Taha Aya 26 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na unifanyie nyepesi kazi yangu,

Sura Aya 26/135 — Taha طه (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Taha Sikiliza, Taha Tafsiri, Taha mp3, Taha pdf. Aya 24–28. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema