Al-Jinn · 17/28
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Jinn
لِّنَفْتِنَهُمْ فِيهِ ۚ وَمَن يُعْرِضْ عَن ذِكْرِ رَبِّهِ يَسْلُكْهُ عَذَابًا صَعَدًا ۝١٧
Linaftinahum feeh; wa many yu`rid `an zikri rabbihee yasluk hu `azaaban sa`adaa
📖 Kwa Kiswahili
Ili tuwajaribu kwa hayo. Na anaye puuza kumkumbuka Mola wake Mlezi atamsukuma kwenye adhabu ngumu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 15-19 — Al-Jinn

15وَأَمَّا الْقَاسِطُونَ فَكَانُوا لِجَهَنَّمَ حَطَبًا
Na ama wanao acha haki, hao watakuwa kuni za Jahannamu.
16وَأَن لَّوِ اسْتَقَامُوا عَلَى الطَّرِيقَةِ لَأَسْقَيْنَاهُم مَّاءً غَدَقًا
Na lau kama wangeli simama sawasawa juu ya njia tungeli wanywesha maji kwa wingi,
17لِّنَفْتِنَهُمْ فِيهِ ۚ وَمَن يُعْرِضْ عَن ذِكْرِ رَبِّهِ يَسْلُكْهُ عَذَابًا صَعَدًا
Ili tuwajaribu kwa hayo. Na anaye puuza kumkumbuka Mola wake Mlezi atamsukuma kwenye adhabu ngumu.
18وَأَنَّ الْمَسَاجِدَ لِلَّهِ فَلَا تَدْعُوا مَعَ اللَّهِ أَحَدًا
Na hakika misikiti ni ya Mwenyezi Mungu, basi msimuabudu yeyote pamoja na Mwenyezi Mungu.
19وَأَنَّهُ لَمَّا قَامَ عَبْدُ اللَّهِ يَدْعُوهُ كَادُوا يَكُونُونَ عَلَيْهِ لِبَدًا
Na hakika Mja wa Mwenyezi Mungu alipo simama kumwomba, wao walikuwa karibu kumzonga!
Al-JinnFaharasa ya Qurani
28Aya
MakkaRevelation
17Aya

Tafsiri — Al-Jinn 17

Sura Al-Jinn Aya 17 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ili tuwajaribu kwa hayo. Na anaye puuza kumkumbuka Mola wake…

Sura Aya 17/28 — Al-Jinn الجن (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Jinn Sikiliza, Al-Jinn Tafsiri, Al-Jinn mp3, Al-Jinn pdf. Aya 15–19. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema