At-Takwir · 25/29
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Takwir
وَمَا هُوَ بِقَوْلِ شَيْطَانٍ رَّجِيمٍ ۝٢٥
Wa maa huwa biqawli shaitaanir rajeem
📖 Kwa Kiswahili
Wala hii si kauli ya Shetani maluuni.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 23-27 — At-Takwir

23وَلَقَدْ رَآهُ بِالْأُفُقِ الْمُبِينِ
Na hakika yeye alimwona kwenye upeo wa macho ulio safi.
24وَمَا هُوَ عَلَى الْغَيْبِ بِضَنِينٍ
Wala yeye si bakhili kwa mambo ya ghaibu.
25وَمَا هُوَ بِقَوْلِ شَيْطَانٍ رَّجِيمٍ
Wala hii si kauli ya Shetani maluuni.
26فَأَيْنَ تَذْهَبُونَ
Basi mnakwenda wapi?
27إِنْ هُوَ إِلَّا ذِكْرٌ لِّلْعَالَمِينَ
Haikuwa hii ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.
At-TakwirFaharasa ya Qurani
29Aya
MakkaRevelation
25Aya

Tafsiri — At-Takwir 25

Sura At-Takwir Aya 25 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala hii si kauli ya Shetani maluuni.

Sura Aya 25/29 — At-Takwir التكوير (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Takwir Sikiliza, At-Takwir Tafsiri, At-Takwir mp3, At-Takwir pdf. Aya 23–27. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema