At-Takwir · 24/29
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Takwir
وَمَا هُوَ عَلَى الْغَيْبِ بِضَنِينٍ ۝٢٤
Wa maa huwa `alal ghaibi bidaneen
📖 Kwa Kiswahili
Wala yeye si bakhili kwa mambo ya ghaibu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 22-26 — At-Takwir

22وَمَا صَاحِبُكُم بِمَجْنُونٍ
Na wala huyu mwenzenu hana wazimu.
23وَلَقَدْ رَآهُ بِالْأُفُقِ الْمُبِينِ
Na hakika yeye alimwona kwenye upeo wa macho ulio safi.
24وَمَا هُوَ عَلَى الْغَيْبِ بِضَنِينٍ
Wala yeye si bakhili kwa mambo ya ghaibu.
25وَمَا هُوَ بِقَوْلِ شَيْطَانٍ رَّجِيمٍ
Wala hii si kauli ya Shetani maluuni.
26فَأَيْنَ تَذْهَبُونَ
Basi mnakwenda wapi?
At-TakwirFaharasa ya Qurani
29Aya
MakkaRevelation
24Aya

Tafsiri — At-Takwir 24

Sura At-Takwir Aya 24 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala yeye si bakhili kwa mambo ya ghaibu.

Sura Aya 24/29 — At-Takwir التكوير (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Takwir Sikiliza, At-Takwir Tafsiri, At-Takwir mp3, At-Takwir pdf. Aya 22–26. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Wednesday, August 19, 2026

Usitusahau katika dua zako njema