Sura Ad-Duha
PDF —
Built right in your browser — download starts automatically
Sura Ad-Duha pdf — Pakua (Kiswahili)
Sura Ad-Duha pdf Kiswahili — Pakua Sura Ad-Duha Tafsiri. Ad-Duha (Makka) 11 Aya.
Related
- Ad-Duha TafsiriKiswahili
- Ad-Duha mp3Sikiliza
- Quran Index Kiswahili114
More Sura PDF
Sura Ad-Duha

ﮉﮊ
Naapa kwa mchana!
ﮋﮌﮍﮎ
Na kwa usiku unapo tanda!
ﮏﮐﮑﮒﮓﮔ
Mola wako Mlezi hakukuacha, wala hakukasirika nawe.
ﮕﮖﮗﮘﮙﮚ
Na bila ya shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko ulio tangulia.
ﮛﮜﮝﮞﮟ
Na Mola wako Mlezi atakupa mpaka uridhike.
ﮠﮡﮢﮣﮤ
Kwani hakukukuta yatima akakupa makaazi?
ﮥﮦﮧﮨ
Na akakukuta umepotea akakuongoa?
ﮩﮪﮫﮬ
Akakukuta mhitaji akakutosheleza?
ﮭﮮﮯﮰﮱ
Basi yatima usimwonee!
ﯓﯔﯕﯖﯗ
Na anaye omba au kuuliza usimkaripie!
ﯘﯙﯚﯛﯜ
Na neema za Mola wako Mlezi zisimlie.
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







