Sura Al-Layl pdf — Pakua (Kiswahili)
Sura Al-Layl pdf Kiswahili — Pakua Sura Al-Layl Tafsiri. Sura Al-Layl (Makka) 21 Aya.
Related
- Sura Al-Layl TafsiriKiswahili
- Sura Al-Layl mp3Sikiliza
- Quran Index Kiswahili114
More Sura PDF
Sura Al-Layl

ﮡﮢﮣﮤ
92:1
Naapa kwa usiku unapo funika!
ﮥﮦﮧﮨ
92:2
Na mchana unapo dhihiri!
ﮩﮪﮫﮬﮭ
92:3
Na kwa Aliye umba dume na jike!
ﮮﮯﮰﮱ
92:4
Hakika juhudi zenu bila ya shaka ni mbali mbali.
ﯓﯔﯕﯖﯗ
92:5
Ama mwenye kutoa na akamchamngu,
ﯘﯙﯚ
92:6
Na akaliwafiki lilio jema,
ﯛﯜﯝ
92:7
Tutamsahilishia yawe mepesi.
ﯞﯟﯠﯡﯢ
92:8
Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake,
ﯣﯤﯥ
92:9
Na akakanusha lilio jema,
ﭑﭒﭓ
92:10
Tutamsahilishia yawe mazito!
ﭔﭕﭖﭗﭘﭙﭚ
92:11
Na mali yake yatamfaa nini atapo kuwa anadidimia?
ﭛﭜﭝﭞ
92:12
Hakika ni juu yetu kuonyesha uwongofu.
ﭟﭠﭡﭢﭣ
92:13
Na hakika ni yetu Sisi Akhera na dunia.
ﭤﭥﭦﭧ
92:14
Basi nakuonyeni na Moto unao waka!
ﭨﭩﭪﭫﭬ
92:15
Hatauingia ila mwovu kabisa!
ﭭﭮﭯﭰ
92:16
Anaye kadhibisha na kupa mgongo.
ﭱﭲﭳ
92:17
Na mchamngu ataepushwa nao,
ﭴﭵﭶﭷﭸ
92:18
Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.
ﭹﭺﭻﭼﭽﭾﭿ
92:19
Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliye mfanyia hisani ndio anamlipa.
ﮀﮁﮂﮃﮄﮅ
92:20
Ila ni kutaka radhi ya Mola wake Mlezi aliye juu kabisa.
ﮆﮇﮈ
92:21
Naye atakuja ridhika!
Kurani Tukufu
Wednesday, September 9, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







