Al-Waqi'a · 20/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
وَفَاكِهَةٍ مِّمَّا يَتَخَيَّرُونَ ۝٢٠
Wa faakihatim mimmaa yatakhaiyaroon
📖 Kwa Kiswahili
Na matunda wayapendayo,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 18-22 — Al-Waqi'a

18بِأَكْوَابٍ وَأَبَارِيقَ وَكَأْسٍ مِّن مَّعِينٍ
Kwa vikombe na mabirika na bilauri za vinywaji kutoka chemchem safi.
19لَّا يُصَدَّعُونَ عَنْهَا وَلَا يُنزِفُونَ
Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa.
20وَفَاكِهَةٍ مِّمَّا يَتَخَيَّرُونَ
Na matunda wayapendayo,
21وَلَحْمِ طَيْرٍ مِّمَّا يَشْتَهُونَ
Na nyama za ndege kama wanavyo tamani.
22وَحُورٌ عِينٌ
Na Mahurulaini,
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
20Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 20

Sura Al-Waqi'a Aya 20 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na matunda wayapendayo,

Sura Aya 20/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 18–22. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema