Al-Waqi'a · 19/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
لَّا يُصَدَّعُونَ عَنْهَا وَلَا يُنزِفُونَ ۝١٩
Laa yusadda`oona `anhaa wa laa yunzifoon
📖 Kwa Kiswahili
Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 17-21 — Al-Waqi'a

17يَطُوفُ عَلَيْهِمْ وِلْدَانٌ مُّخَلَّدُونَ
Wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele,
18بِأَكْوَابٍ وَأَبَارِيقَ وَكَأْسٍ مِّن مَّعِينٍ
Kwa vikombe na mabirika na bilauri za vinywaji kutoka chemchem safi.
19لَّا يُصَدَّعُونَ عَنْهَا وَلَا يُنزِفُونَ
Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa.
20وَفَاكِهَةٍ مِّمَّا يَتَخَيَّرُونَ
Na matunda wayapendayo,
21وَلَحْمِ طَيْرٍ مِّمَّا يَشْتَهُونَ
Na nyama za ndege kama wanavyo tamani.
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
19Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 19

Sura Al-Waqi'a Aya 19 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa.

Sura Aya 19/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 17–21. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema