Al-Qalam · 52/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
وَمَا هُوَ إِلَّا ذِكْرٌ لِّلْعَالَمِينَ ۝٥٢
Wa maa huwa illaa zikrul lil`aalameen
📖 Kwa Kiswahili
Na hayakuwa haya, ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 50-52 — Al-Qalam

50فَاجْتَبَاهُ رَبُّهُ فَجَعَلَهُ مِنَ الصَّالِحِينَ
Lakini Mola wake Mlezi alimteua na akamfanya miongoni mwa watu wema.
51وَإِن يَكَادُ الَّذِينَ كَفَرُوا لَيُزْلِقُونَكَ بِأَبْصَارِهِمْ لَمَّا سَمِعُوا الذِّكْرَ وَيَقُولُونَ إِنَّهُ لَمَجْنُونٌ
Na walio kufuru hukaribia kukutelezesha kwa macho yao, wanapo sikia mawaidha, na wanasema: Hakika yeye ni mwendawazimu.
52وَمَا هُوَ إِلَّا ذِكْرٌ لِّلْعَالَمِينَ
Na hayakuwa haya, ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
52Aya

Tafsiri — Al-Qalam 52

Sura Al-Qalam Aya 52 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na hayakuwa haya, ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.

Sura Aya 52/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 50–52. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema