Al-Qiyama · 18/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qiyama
فَإِذَا قَرَأْنَاهُ فَاتَّبِعْ قُرْآنَهُ ۝١٨
Fa izaa qaraanaahu fattabi` qur aanah
📖 Kwa Kiswahili
Tunapo usoma, basi nawe fuatiliza kusoma kwake.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 16-20 — Al-Qiyama

16لَا تُحَرِّكْ بِهِ لِسَانَكَ لِتَعْجَلَ بِهِ
Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka.
17إِنَّ عَلَيْنَا جَمْعَهُ وَقُرْآنَهُ
Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha.
18فَإِذَا قَرَأْنَاهُ فَاتَّبِعْ قُرْآنَهُ
Tunapo usoma, basi nawe fuatiliza kusoma kwake.
19ثُمَّ إِنَّ عَلَيْنَا بَيَانَهُ
Kisha ni juu yetu kuubainisha.
20كَلَّا بَلْ تُحِبُّونَ الْعَاجِلَةَ
Hasha! Bali nyinyi mnapenda maisha ya duniani,
Al-QiyamaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
18Aya

Tafsiri — Al-Qiyama 18

Sura Al-Qiyama Aya 18 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Tunapo usoma, basi nawe fuatiliza kusoma kwake.

Sura Aya 18/40 — Al-Qiyama القيامة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qiyama Sikiliza, Al-Qiyama Tafsiri, Al-Qiyama mp3, Al-Qiyama pdf. Aya 16–20. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema