Al-Qiyama · 17/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qiyama
إِنَّ عَلَيْنَا جَمْعَهُ وَقُرْآنَهُ ۝١٧
Inna `alainaa jam`ahoo wa qur aanah
📖 Kwa Kiswahili
Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 15-19 — Al-Qiyama

15وَلَوْ أَلْقَىٰ مَعَاذِيرَهُ
Na ingawa atatoa chungu ya udhuru.
16لَا تُحَرِّكْ بِهِ لِسَانَكَ لِتَعْجَلَ بِهِ
Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka.
17إِنَّ عَلَيْنَا جَمْعَهُ وَقُرْآنَهُ
Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha.
18فَإِذَا قَرَأْنَاهُ فَاتَّبِعْ قُرْآنَهُ
Tunapo usoma, basi nawe fuatiliza kusoma kwake.
19ثُمَّ إِنَّ عَلَيْنَا بَيَانَهُ
Kisha ni juu yetu kuubainisha.
Al-QiyamaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
17Aya

Tafsiri — Al-Qiyama 17

Sura Al-Qiyama Aya 17 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha.

Sura Aya 17/40 — Al-Qiyama القيامة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qiyama Sikiliza, Al-Qiyama Tafsiri, Al-Qiyama mp3, Al-Qiyama pdf. Aya 15–19. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema