Al-Qiyama · 19/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qiyama
ثُمَّ إِنَّ عَلَيْنَا بَيَانَهُ ۝١٩
Summa inna `alainaa bayaanah
📖 Kwa Kiswahili
Kisha ni juu yetu kuubainisha.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 17-21 — Al-Qiyama

17إِنَّ عَلَيْنَا جَمْعَهُ وَقُرْآنَهُ
Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha.
18فَإِذَا قَرَأْنَاهُ فَاتَّبِعْ قُرْآنَهُ
Tunapo usoma, basi nawe fuatiliza kusoma kwake.
19ثُمَّ إِنَّ عَلَيْنَا بَيَانَهُ
Kisha ni juu yetu kuubainisha.
20كَلَّا بَلْ تُحِبُّونَ الْعَاجِلَةَ
Hasha! Bali nyinyi mnapenda maisha ya duniani,
21وَتَذَرُونَ الْآخِرَةَ
Na mnaacha maisha ya Akhera.
Al-QiyamaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
19Aya

Tafsiri — Al-Qiyama 19

Sura Al-Qiyama Aya 19 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kisha ni juu yetu kuubainisha.

Sura Aya 19/40 — Al-Qiyama القيامة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qiyama Sikiliza, Al-Qiyama Tafsiri, Al-Qiyama mp3, Al-Qiyama pdf. Aya 17–21. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema