Al-Mursalat · 28/50
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mursalat
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ ۝٢٨
Wailuny yawma `izil lilmukazzibeen
📖 Kwa Kiswahili
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 26-30 — Al-Mursalat

26أَحْيَاءً وَأَمْوَاتًا
Walio hai na maiti?
27وَجَعَلْنَا فِيهَا رَوَاسِيَ شَامِخَاتٍ وَأَسْقَيْنَاكُم مَّاءً فُرَاتًا
Na ndani yake tukaweka milima mirefu yenye kuthibiti, na tunakunywesheni maji matamu?
28وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
29انطَلِقُوا إِلَىٰ مَا كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ
Nendeni kwenye adhabu mliyo kuwa mkiikanusha!
30انطَلِقُوا إِلَىٰ ظِلٍّ ذِي ثَلَاثِ شُعَبٍ
Nendeni kwenye kivuli chenye mapande matatu!
Al-MursalatFaharasa ya Qurani
50Aya
MakkaRevelation
28Aya

Tafsiri — Al-Mursalat 28

Sura Al-Mursalat Aya 28 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!

Sura Aya 28/50 — Al-Mursalat المرسلات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mursalat Sikiliza, Al-Mursalat Tafsiri, Al-Mursalat mp3, Al-Mursalat pdf. Aya 26–30. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema