Abasa · 28/42
Tafsiri Uandishi wa sauti — Abasa
وَعِنَبًا وَقَضْبًا ۝٢٨
Wa `inabaw-wa qadba
📖 Kwa Kiswahili
Na zabibu, na mimea ya majani,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 26-30 — Abasa

26ثُمَّ شَقَقْنَا الْأَرْضَ شَقًّا
Tena tukaipasua pasua ardhi kwa nguvu,
27فَأَنبَتْنَا فِيهَا حَبًّا
Kisha tukaotesha humo nafaka,
28وَعِنَبًا وَقَضْبًا
Na zabibu, na mimea ya majani,
29وَزَيْتُونًا وَنَخْلًا
Na mizaituni, na mitende,
30وَحَدَائِقَ غُلْبًا
Na bustani zenye miti iliyo songana baraabara,
AbasaFaharasa ya Qurani
42Aya
MakkaRevelation
28Aya

Tafsiri — Abasa 28

Sura Abasa Aya 28 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na zabibu, na mimea ya majani,

Sura Aya 28/42 — Abasa عبس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Abasa Sikiliza, Abasa Tafsiri, Abasa mp3, Abasa pdf. Aya 26–30. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema