Abasa · 27/42
Tafsiri Uandishi wa sauti — Abasa
فَأَنبَتْنَا فِيهَا حَبًّا ۝٢٧
Fa ambatna feeha habba
📖 Kwa Kiswahili
Kisha tukaotesha humo nafaka,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 25-29 — Abasa

25أَنَّا صَبَبْنَا الْمَاءَ صَبًّا
Hakika Sisi tumemimina maji kwa nguvu,
26ثُمَّ شَقَقْنَا الْأَرْضَ شَقًّا
Tena tukaipasua pasua ardhi kwa nguvu,
27فَأَنبَتْنَا فِيهَا حَبًّا
Kisha tukaotesha humo nafaka,
28وَعِنَبًا وَقَضْبًا
Na zabibu, na mimea ya majani,
29وَزَيْتُونًا وَنَخْلًا
Na mizaituni, na mitende,
AbasaFaharasa ya Qurani
42Aya
MakkaRevelation
27Aya

Tafsiri — Abasa 27

Sura Abasa Aya 27 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kisha tukaotesha humo nafaka,

Sura Aya 27/42 — Abasa عبس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Abasa Sikiliza, Abasa Tafsiri, Abasa mp3, Abasa pdf. Aya 25–29. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Wednesday, August 19, 2026

Usitusahau katika dua zako njema