Ash-Shams · 15/15
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shams
وَلَا يَخَافُ عُقْبَاهَا ۝١٥
Wa laa yakhaafu`uqbaahaa
📖 Kwa Kiswahili
Wala Yeye haogopi matokeo yake.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 13-15 — Ash-Shams

13فَقَالَ لَهُمْ رَسُولُ اللَّهِ نَاقَةَ اللَّهِ وَسُقْيَاهَا
Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.
14فَكَذَّبُوهُ فَعَقَرُوهَا فَدَمْدَمَ عَلَيْهِمْ رَبُّهُم بِذَنبِهِمْ فَسَوَّاهَا
Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwa hivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwa sababu ya dhambi zao na akawafuta kabisa.
15وَلَا يَخَافُ عُقْبَاهَا
Wala Yeye haogopi matokeo yake.
Ash-ShamsFaharasa ya Qurani
15Aya
MakkaRevelation
15Aya

Tafsiri — Ash-Shams 15

Sura Ash-Shams Aya 15 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala Yeye haogopi matokeo yake.

Sura Aya 15/15 — Ash-Shams الشمس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shams Sikiliza, Ash-Shams Tafsiri, Ash-Shams mp3, Ash-Shams pdf. Aya 13–15. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema