Al-'Alaq · 15/19
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-'Alaq
كَلَّا لَئِن لَّمْ يَنتَهِ لَنَسْفَعًا بِالنَّاصِيَةِ ۝١٥
Kalla la illam yantahi la nasfa`am bin nasiyah
📖 Kwa Kiswahili
Kwani! Kama haachi, tutamkokota kwa shungi la nywele!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 13-17 — Al-'Alaq

13أَرَأَيْتَ إِن كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰ
Umeona kama yeye akikanusha na anarudi nyuma?
14أَلَمْ يَعْلَم بِأَنَّ اللَّهَ يَرَىٰ
Hajui ya kwamba Mwenyezi Mungu anaona?
15كَلَّا لَئِن لَّمْ يَنتَهِ لَنَسْفَعًا بِالنَّاصِيَةِ
Kwani! Kama haachi, tutamkokota kwa shungi la nywele!
16نَاصِيَةٍ كَاذِبَةٍ خَاطِئَةٍ
Shungi la uwongo, lenye makosa!
17فَلْيَدْعُ نَادِيَهُ
Basi na awaite wenzake!
Al-'AlaqFaharasa ya Qurani
19Aya
MakkaRevelation
15Aya

Tafsiri — Al-'Alaq 15

Sura Al-'Alaq Aya 15 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwani! Kama haachi, tutamkokota kwa shungi la nywele!

Sura Aya 15/19 — Al-'Alaq العلق (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-'Alaq Sikiliza, Al-'Alaq Tafsiri, Al-'Alaq mp3, Al-'Alaq pdf. Aya 13–17. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema