Al-'Alaq · 14/19
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-'Alaq
أَلَمْ يَعْلَم بِأَنَّ اللَّهَ يَرَىٰ ۝١٤
Alam y`alam bi-an nal lahaa yaraa
📖 Kwa Kiswahili
Hajui ya kwamba Mwenyezi Mungu anaona?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 12-16 — Al-'Alaq

12أَوْ أَمَرَ بِالتَّقْوَىٰ
Au anaamrisha uchamngu?
13أَرَأَيْتَ إِن كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰ
Umeona kama yeye akikanusha na anarudi nyuma?
14أَلَمْ يَعْلَم بِأَنَّ اللَّهَ يَرَىٰ
Hajui ya kwamba Mwenyezi Mungu anaona?
15كَلَّا لَئِن لَّمْ يَنتَهِ لَنَسْفَعًا بِالنَّاصِيَةِ
Kwani! Kama haachi, tutamkokota kwa shungi la nywele!
16نَاصِيَةٍ كَاذِبَةٍ خَاطِئَةٍ
Shungi la uwongo, lenye makosa!
Al-'AlaqFaharasa ya Qurani
19Aya
MakkaRevelation
14Aya

Tafsiri — Al-'Alaq 14

Sura Al-'Alaq Aya 14 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hajui ya kwamba Mwenyezi Mungu anaona?

Sura Aya 14/19 — Al-'Alaq العلق (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-'Alaq Sikiliza, Al-'Alaq Tafsiri, Al-'Alaq mp3, Al-'Alaq pdf. Aya 12–16. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema