Sura At-Tariq pdf — Pakua (Kiswahili)
Sura At-Tariq pdf Kiswahili — Pakua Sura At-Tariq Tafsiri. Sura At-Tariq (Makka) 17 Aya.
Related
- Sura At-Tariq TafsiriKiswahili
- Sura At-Tariq mp3Sikiliza
- Quran Index Kiswahili114
More Sura PDF
Sura At-Tariq

ﭑﭒﭓ
86:1
Naapa kwa mbingu na Kinacho kuja usiku!
ﭔﭕﭖﭗﭘ
86:2
Na nini kitakacho kujuulisha ni nini hicho Kinacho kuja usiku?
ﭙﭚﭛ
86:3
Ni Nyota yenye mwanga mkali.
ﭜﭝﭞﭟﭠﭡﭢ
86:4
Hapana nafsi ila inayo mwangalizi.
ﭣﭤﭥﭦﭧ
86:5
Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?
ﭨﭩﭪﭫﭬ
86:6
Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,
ﭭﭮﭯﭰﭱﭲ
86:7
Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.
ﭳﭴﭵﭶﭷ
86:8
Hakika Yeye ana uweza wa kumrudisha.
ﭸﭹﭺﭻ
86:9
Siku zitakapo dhihirishwa siri.
ﭼﭽﭾﭿﮀﮁﮂ
86:10
Basi hatakuwa na nguvu wala msaidizi.
ﮃﮄﮅﮆ
86:11
Naapa kwa mbingu yenye marejeo!
ﮇﮈﮉﮊ
86:12
Na kwa ardhi inayo pasuka!
ﮋﮌﮍﮎ
86:13
Hakika hii ni kauli ya kupambanua.
ﮏﮐﮑﮒ
86:14
Wala si mzaha.
ﮓﮔﮕﮖ
86:15
Hakika wao wanapanga mpango.
ﮗﮘﮙ
86:16
Na Mimi napanga mpango.
ﮚﮛﮜﮝﮞ
86:17
Basi wape muhula makafiri - wape muhula pole pole.
Kurani Tukufu
Wednesday, September 9, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







