Sura At-Tariq
PDF —
Built right in your browser — download starts automatically
Sura At-Tariq pdf — Pakua (Kiswahili)
Sura At-Tariq pdf Kiswahili — Pakua Sura At-Tariq Tafsiri. At-Tariq (Makka) 17 Aya.
Related
- At-Tariq TafsiriKiswahili
- At-Tariq mp3Sikiliza
- Quran Index Kiswahili114
More Sura PDF
Sura At-Tariq

ﭑﭒﭓ
Naapa kwa mbingu na Kinacho kuja usiku!
ﭔﭕﭖﭗﭘ
Na nini kitakacho kujuulisha ni nini hicho Kinacho kuja usiku?
ﭙﭚﭛ
Ni Nyota yenye mwanga mkali.
ﭜﭝﭞﭟﭠﭡﭢ
Hapana nafsi ila inayo mwangalizi.
ﭣﭤﭥﭦﭧ
Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?
ﭨﭩﭪﭫﭬ
Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,
ﭭﭮﭯﭰﭱﭲ
Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.
ﭳﭴﭵﭶﭷ
Hakika Yeye ana uweza wa kumrudisha.
ﭸﭹﭺﭻ
Siku zitakapo dhihirishwa siri.
ﭼﭽﭾﭿﮀﮁﮂ
Basi hatakuwa na nguvu wala msaidizi.
ﮃﮄﮅﮆ
Naapa kwa mbingu yenye marejeo!
ﮇﮈﮉﮊ
Na kwa ardhi inayo pasuka!
ﮋﮌﮍﮎ
Hakika hii ni kauli ya kupambanua.
ﮏﮐﮑﮒ
Wala si mzaha.
ﮓﮔﮕﮖ
Hakika wao wanapanga mpango.
ﮗﮘﮙ
Na Mimi napanga mpango.
ﮚﮛﮜﮝﮞ
Basi wape muhula makafiri - wape muhula pole pole.
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







