Luqman · 2/34
Tafsiri Uandishi wa sauti — Luqman
تِلْكَ آيَاتُ الْكِتَابِ الْحَكِيمِ ۝٢
Tilka Aayaatul Kitaabil Hakeem
📖 Kwa Kiswahili
Hizi ni Aya za Kitabu chenye hikima.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-4 — Luqman

1الم
Alif Lam Mim (A. L. M.)
2تِلْكَ آيَاتُ الْكِتَابِ الْحَكِيمِ
Hizi ni Aya za Kitabu chenye hikima.
3هُدًى وَرَحْمَةً لِّلْمُحْسِنِينَ
Kuwa ni Uwongofu na Rehema kwa wafanyao wema,
4الَّذِينَ يُقِيمُونَ الصَّلَاةَ وَيُؤْتُونَ الزَّكَاةَ وَهُم بِالْآخِرَةِ هُمْ يُوقِنُونَ
Wanao shika Sala, na wanatoa Zaka, nao wana yakini na Akhera.
LuqmanFaharasa ya Qurani
34Aya
MakkaRevelation
2Aya

Tafsiri — Luqman 2

Sura Luqman Aya 2 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hizi ni Aya za Kitabu chenye hikima.

Sura Aya 2/34 — Luqman لقمان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Luqman Sikiliza, Luqman Tafsiri, Luqman mp3, Luqman pdf. Aya 1–4. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema