Luqman · 3/34
Tafsiri Uandishi wa sauti — Luqman
هُدًى وَرَحْمَةً لِّلْمُحْسِنِينَ ۝٣
Hudanw wa rahmatal lilmuhsineen
📖 Kwa Kiswahili
Kuwa ni Uwongofu na Rehema kwa wafanyao wema,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-5 — Luqman

1الم
Alif Lam Mim (A. L. M.)
2تِلْكَ آيَاتُ الْكِتَابِ الْحَكِيمِ
Hizi ni Aya za Kitabu chenye hikima.
3هُدًى وَرَحْمَةً لِّلْمُحْسِنِينَ
Kuwa ni Uwongofu na Rehema kwa wafanyao wema,
4الَّذِينَ يُقِيمُونَ الصَّلَاةَ وَيُؤْتُونَ الزَّكَاةَ وَهُم بِالْآخِرَةِ هُمْ يُوقِنُونَ
Wanao shika Sala, na wanatoa Zaka, nao wana yakini na Akhera.
5أُولَٰئِكَ عَلَىٰ هُدًى مِّن رَّبِّهِمْ ۖ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْمُفْلِحُونَ
Hao ndio walio na uwongofu utokao kwa Mola wao Mlezi, na hao ndio wenye kufanikiwa.
LuqmanFaharasa ya Qurani
34Aya
MakkaRevelation
3Aya

Tafsiri — Luqman 3

Sura Luqman Aya 3 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kuwa ni Uwongofu na Rehema kwa wafanyao wema,

Sura Aya 3/34 — Luqman لقمان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Luqman Sikiliza, Luqman Tafsiri, Luqman mp3, Luqman pdf. Aya 1–5. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema