Ya-Sin · 6/83
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ya-Sin
لِتُنذِرَ قَوْمًا مَّا أُنذِرَ آبَاؤُهُمْ فَهُمْ غَافِلُونَ ۝٦
Litunzira qawmam maaa unzira aabaaa`uhum fahum ghaafiloon
📖 Kwa Kiswahili
Ili uwaonye watu ambao baba zao hawakuonywa, basi wao wamekuwa wenye kughafilika.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 4-8 — Ya-Sin

4عَلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ
Juu ya Njia Iliyo Nyooka.
5تَنزِيلَ الْعَزِيزِ الرَّحِيمِ
Uteremsho wa Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.
6لِتُنذِرَ قَوْمًا مَّا أُنذِرَ آبَاؤُهُمْ فَهُمْ غَافِلُونَ
Ili uwaonye watu ambao baba zao hawakuonywa, basi wao wamekuwa wenye kughafilika.
7لَقَدْ حَقَّ الْقَوْلُ عَلَىٰ أَكْثَرِهِمْ فَهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
Bila ya shaka kauli imekwisha thibiti juu ya wengi katika wao, kwa hivyo hawaamini.
8إِنَّا جَعَلْنَا فِي أَعْنَاقِهِمْ أَغْلَالًا فَهِيَ إِلَى الْأَذْقَانِ فَهُم مُّقْمَحُونَ
Tumeweka makongwa shingoni mwao, yakawafika videvuni. Kwa hivyo vichwa vyao viko juu tu.
Ya-SinFaharasa ya Qurani
83Aya
MakkaRevelation
6Aya

Tafsiri — Ya-Sin 6

Sura Ya-Sin Aya 6 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ili uwaonye watu ambao baba zao hawakuonywa, basi wao wamekuwa…

Sura Aya 6/83 — Ya-Sin يس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ya-Sin Sikiliza, Ya-Sin Tafsiri, Ya-Sin mp3, Ya-Sin pdf. Aya 4–8. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema