Al-Haqqa · 22/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
فِي جَنَّةٍ عَالِيَةٍ ۝٢٢
Fee jannnatin `aaliyah
📖 Kwa Kiswahili
Katika Bustani ya juu,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 20-24 — Al-Haqqa

20إِنِّي ظَنَنتُ أَنِّي مُلَاقٍ حِسَابِيَهْ
Hakika nalijua ya kuwa nitapokea hisabu yangu.
21فَهُوَ فِي عِيشَةٍ رَّاضِيَةٍ
Basi yeye atakuwa katika maisha ya kupendeza,
22فِي جَنَّةٍ عَالِيَةٍ
Katika Bustani ya juu,
23قُطُوفُهَا دَانِيَةٌ
Matunda yake yakaribu.
24كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا أَسْلَفْتُمْ فِي الْأَيَّامِ الْخَالِيَةِ
Waambiwe: Kuleni na mnywe kwa furaha kwa sababu ya mlivyo tanguliza katika siku zilizo pita.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
22Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 22

Sura Al-Haqqa Aya 22 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Katika Bustani ya juu,

Sura Aya 22/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 20–24. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema