Al-Haqqa · 21/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
فَهُوَ فِي عِيشَةٍ رَّاضِيَةٍ ۝٢١
Fahuwa fee `eeshatir raadiyah
📖 Kwa Kiswahili
Basi yeye atakuwa katika maisha ya kupendeza,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 19-23 — Al-Haqqa

19فَأَمَّا مَنْ أُوتِيَ كِتَابَهُ بِيَمِينِهِ فَيَقُولُ هَاؤُمُ اقْرَءُوا كِتَابِيَهْ
Basi ama atakaye pewa kitabu chake kwa mkono wake wa kulia, atasema: Haya someni kitabu changu!
20إِنِّي ظَنَنتُ أَنِّي مُلَاقٍ حِسَابِيَهْ
Hakika nalijua ya kuwa nitapokea hisabu yangu.
21فَهُوَ فِي عِيشَةٍ رَّاضِيَةٍ
Basi yeye atakuwa katika maisha ya kupendeza,
22فِي جَنَّةٍ عَالِيَةٍ
Katika Bustani ya juu,
23قُطُوفُهَا دَانِيَةٌ
Matunda yake yakaribu.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
21Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 21

Sura Al-Haqqa Aya 21 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi yeye atakuwa katika maisha ya kupendeza,

Sura Aya 21/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 19–23. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema