Al-Insan · 1/31
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Insan
هَلْ أَتَىٰ عَلَى الْإِنسَانِ حِينٌ مِّنَ الدَّهْرِ لَمْ يَكُن شَيْئًا مَّذْكُورًا ۝١
Hal ataa `alal insaani heenum minad dahri lam yakun shai`am mazkooraa
📖 Kwa Kiswahili
Hakika kilimpitia binaadamu kipindi katika zama ambacho kwamba hakuwa kitu kinacho tajwa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-3 — Al-Insan

1هَلْ أَتَىٰ عَلَى الْإِنسَانِ حِينٌ مِّنَ الدَّهْرِ لَمْ يَكُن شَيْئًا مَّذْكُورًا
Hakika kilimpitia binaadamu kipindi katika zama ambacho kwamba hakuwa kitu kinacho tajwa.
2إِنَّا خَلَقْنَا الْإِنسَانَ مِن نُّطْفَةٍ أَمْشَاجٍ نَّبْتَلِيهِ فَجَعَلْنَاهُ سَمِيعًا بَصِيرًا
Hakika Sisi tumemuumba mtu kutokana na mbegu ya uhai iliyo changanyika, tumfanyie mtihani. Kwa hivyo tukamfanya mwenye kusikia, mwenye kuona.
3إِنَّا هَدَيْنَاهُ السَّبِيلَ إِمَّا شَاكِرًا وَإِمَّا كَفُورًا
Hakika Sisi tumembainishia Njia. Ama ni mwenye kushukuru, au mwenye kukufuru.
Al-InsanFaharasa ya Qurani
31Aya
MadinaRevelation
1Aya

Tafsiri — Al-Insan 1

Sura Al-Insan Aya 1 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika kilimpitia binaadamu kipindi katika zama ambacho kwamba hakuwa kitu…

Sura Aya 1/31 — Al-Insan الإنسان (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Insan Sikiliza, Al-Insan Tafsiri, Al-Insan mp3, Al-Insan pdf. Aya 1–3. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema