An-Naba · 22/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Naba
لِّلطَّاغِينَ مَآبًا ۝٢٢
Lit taa gheena ma aaba
📖 Kwa Kiswahili
Kwa walio asi ndio makaazi yao,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 20-24 — An-Naba

20وَسُيِّرَتِ الْجِبَالُ فَكَانَتْ سَرَابًا
Na milima itaondolewa na itakuwa kama sarabi.
21إِنَّ جَهَنَّمَ كَانَتْ مِرْصَادًا
Hakika Jahannamu inangojea!
22لِّلطَّاغِينَ مَآبًا
Kwa walio asi ndio makaazi yao,
23لَّابِثِينَ فِيهَا أَحْقَابًا
Wakae humo karne baada ya karne,
24لَّا يَذُوقُونَ فِيهَا بَرْدًا وَلَا شَرَابًا
Hawataonja humo chochote kibaridi wala kinywaji,
An-NabaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
22Aya

Tafsiri — An-Naba 22

Sura An-Naba Aya 22 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwa walio asi ndio makaazi yao,

Sura Aya 22/40 — An-Naba النبأ (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Naba Sikiliza, An-Naba Tafsiri, An-Naba mp3, An-Naba pdf. Aya 20–24. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema