An-Naba · 23/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Naba
لَّابِثِينَ فِيهَا أَحْقَابًا ۝٢٣
Laa bitheena feehaa ahqaaba
📖 Kwa Kiswahili
Wakae humo karne baada ya karne,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 21-25 — An-Naba

21إِنَّ جَهَنَّمَ كَانَتْ مِرْصَادًا
Hakika Jahannamu inangojea!
22لِّلطَّاغِينَ مَآبًا
Kwa walio asi ndio makaazi yao,
23لَّابِثِينَ فِيهَا أَحْقَابًا
Wakae humo karne baada ya karne,
24لَّا يَذُوقُونَ فِيهَا بَرْدًا وَلَا شَرَابًا
Hawataonja humo chochote kibaridi wala kinywaji,
25إِلَّا حَمِيمًا وَغَسَّاقًا
Ila maji yamoto sana na usaha,
An-NabaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
23Aya

Tafsiri — An-Naba 23

Sura An-Naba Aya 23 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wakae humo karne baada ya karne,

Sura Aya 23/40 — An-Naba النبأ (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Naba Sikiliza, An-Naba Tafsiri, An-Naba mp3, An-Naba pdf. Aya 21–25. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema