Al-'Adiyat · 9/11
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-'Adiyat
۞ أَفَلَا يَعْلَمُ إِذَا بُعْثِرَ مَا فِي الْقُبُورِ ۝٩
Afala ya`lamu iza b`uthira ma filquboor
📖 Kwa Kiswahili
Kwani hajui watakapo fufuliwa waliomo makaburini?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 7-11 — Al-'Adiyat

7وَإِنَّهُ عَلَىٰ ذَٰلِكَ لَشَهِيدٌ
Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!
8وَإِنَّهُ لِحُبِّ الْخَيْرِ لَشَدِيدٌ
Naye hakika bila ya shaka ana nguvu za kupenda mali!
9۞ أَفَلَا يَعْلَمُ إِذَا بُعْثِرَ مَا فِي الْقُبُورِ
Kwani hajui watakapo fufuliwa waliomo makaburini?
10وَحُصِّلَ مَا فِي الصُّدُورِ
Na yakakusanywa yaliomo vifuani?
11إِنَّ رَبَّهُم بِهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّخَبِيرٌ
Kuwa hakika Mola wao Mlezi siku hiyo bila ya shaka atakuwa na khabari zao wote!
Al-'AdiyatFaharasa ya Qurani
11Aya
MakkaRevelation
9Aya

Tafsiri — Al-'Adiyat 9

Sura Al-'Adiyat Aya 9 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwani hajui watakapo fufuliwa waliomo makaburini?

Sura Aya 9/11 — Al-'Adiyat العاديات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-'Adiyat Sikiliza, Al-'Adiyat Tafsiri, Al-'Adiyat mp3, Al-'Adiyat pdf. Aya 7–11. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema