An-Nasr · 2/3
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Nasr
وَرَأَيۡتَ ٱلنَّاسَ يَدۡخُلُونَ فِي دِينِ ٱللَّهِ أَفۡوَاجًا  ۝٢
Wa ra-aitan naasa yadkhuloona fee deenil laahi afwajah
📖 Kwa Kiswahili
Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-3 — An-Nasr

1إِذَا جَآءَ نَصۡرُ ٱللَّهِ وَٱلۡفَتۡحُ 
Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
2وَرَأَيۡتَ ٱلنَّاسَ يَدۡخُلُونَ فِي دِينِ ٱللَّهِ أَفۡوَاجًا 
Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
3فَسَبِّحۡ بِحَمۡدِ رَبِّكَ وَٱسۡتَغۡفِرۡهُۚ إِنَّهُۥ كَانَ تَوَّابَۢا 
Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.
An-NasrFaharasa ya Qurani
3Aya
MadinaRevelation
2Aya

Tafsiri — An-Nasr 2

Sura Aya 2/3 — An-Nasr النصر (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Nasr Sikiliza, An-Nasr Tafsiri, An-Nasr mp3, An-Nasr pdf. Aya 1–3. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema