An-Nasr · 3/3
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Nasr
فَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ وَاسْتَغْفِرْهُ ۚ إِنَّهُ كَانَ تَوَّابًا ۝٣
Fa sab bih bihamdi rabbika was taghfir, innahu kaana tawwaaba
📖 Kwa Kiswahili
Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-3 — An-Nasr

1إِذَا جَاءَ نَصْرُ اللَّهِ وَالْفَتْحُ
Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
2وَرَأَيْتَ النَّاسَ يَدْخُلُونَ فِي دِينِ اللَّهِ أَفْوَاجًا
Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
3فَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ وَاسْتَغْفِرْهُ ۚ إِنَّهُ كَانَ تَوَّابًا
Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.
An-NasrFaharasa ya Qurani
3Aya
MadinaRevelation
3Aya

Tafsiri — An-Nasr 3

Sura An-Nasr Aya 3 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika…

Sura Aya 3/3 — An-Nasr النصر (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Nasr Sikiliza, An-Nasr Tafsiri, An-Nasr mp3, An-Nasr pdf. Aya 1–3. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema