Al-Mu'minun · 11/118
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mu'minun
الَّذِينَ يَرِثُونَ الْفِرْدَوْسَ هُمْ فِيهَا خَالِدُونَ ۝١١
Allazeena yarisoonal Firdawsa hum feehaa khaalidoon
📖 Kwa Kiswahili
Ambao watairithi Pepo ya Firdausi, wadumu humo.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 9-13 — Al-Mu'minun

9وَالَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَوَاتِهِمْ يُحَافِظُونَ
Na ambao Sala zao wanazihifadhi -
10أُولَٰئِكَ هُمُ الْوَارِثُونَ
Hao ndio warithi,
11الَّذِينَ يَرِثُونَ الْفِرْدَوْسَ هُمْ فِيهَا خَالِدُونَ
Ambao watairithi Pepo ya Firdausi, wadumu humo.
12وَلَقَدْ خَلَقْنَا الْإِنسَانَ مِن سُلَالَةٍ مِّن طِينٍ
Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.
13ثُمَّ جَعَلْنَاهُ نُطْفَةً فِي قَرَارٍ مَّكِينٍ
Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti.
Al-Mu'minunFaharasa ya Qurani
118Aya
MakkaRevelation
11Aya

Tafsiri — Al-Mu'minun 11

Sura Al-Mu'minun Aya 11 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ambao watairithi Pepo ya Firdausi, wadumu humo.

Sura Aya 11/118 — Al-Mu'minun المؤمنون (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mu'minun Sikiliza, Al-Mu'minun Tafsiri, Al-Mu'minun mp3, Al-Mu'minun pdf. Aya 9–13. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema