Al-Mu'minun · 12/118
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mu'minun
وَلَقَدْ خَلَقْنَا الْإِنسَانَ مِن سُلَالَةٍ مِّن طِينٍ ۝١٢
Wa laqad khalaqnal insaana min sulaalatim minteen
📖 Kwa Kiswahili
Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 10-14 — Al-Mu'minun

10أُولَٰئِكَ هُمُ الْوَارِثُونَ
Hao ndio warithi,
11الَّذِينَ يَرِثُونَ الْفِرْدَوْسَ هُمْ فِيهَا خَالِدُونَ
Ambao watairithi Pepo ya Firdausi, wadumu humo.
12وَلَقَدْ خَلَقْنَا الْإِنسَانَ مِن سُلَالَةٍ مِّن طِينٍ
Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.
13ثُمَّ جَعَلْنَاهُ نُطْفَةً فِي قَرَارٍ مَّكِينٍ
Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti.
14ثُمَّ خَلَقْنَا النُّطْفَةَ عَلَقَةً فَخَلَقْنَا الْعَلَقَةَ مُضْغَةً فَخَلَقْنَا الْمُضْغَةَ عِظَامًا فَكَسَوْنَا الْعِظَامَ لَحْمًا ثُمَّ أَنشَأْنَاهُ خَلْقًا آخَرَ ۚ فَتَبَارَكَ اللَّهُ أَحْسَنُ الْخَالِقِينَ
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.
Al-Mu'minunFaharasa ya Qurani
118Aya
MakkaRevelation
12Aya

Tafsiri — Al-Mu'minun 12

Sura Al-Mu'minun Aya 12 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.

Sura Aya 12/118 — Al-Mu'minun المؤمنون (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mu'minun Sikiliza, Al-Mu'minun Tafsiri, Al-Mu'minun mp3, Al-Mu'minun pdf. Aya 10–14. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema