Al-Mu'minun · 10/118
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mu'minun
أُولَٰئِكَ هُمُ الْوَارِثُونَ ۝١٠
Ulaaa`ika humul waarisoon
📖 Kwa Kiswahili
Hao ndio warithi,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 8-12 — Al-Mu'minun

8وَالَّذِينَ هُمْ لِأَمَانَاتِهِمْ وَعَهْدِهِمْ رَاعُونَ
Na ambao wanazitimiza amana zao na ahadi zao,
9وَالَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَوَاتِهِمْ يُحَافِظُونَ
Na ambao Sala zao wanazihifadhi -
10أُولَٰئِكَ هُمُ الْوَارِثُونَ
Hao ndio warithi,
11الَّذِينَ يَرِثُونَ الْفِرْدَوْسَ هُمْ فِيهَا خَالِدُونَ
Ambao watairithi Pepo ya Firdausi, wadumu humo.
12وَلَقَدْ خَلَقْنَا الْإِنسَانَ مِن سُلَالَةٍ مِّن طِينٍ
Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.
Al-Mu'minunFaharasa ya Qurani
118Aya
MakkaRevelation
10Aya

Tafsiri — Al-Mu'minun 10

Sura Al-Mu'minun Aya 10 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hao ndio warithi,

Sura Aya 10/118 — Al-Mu'minun المؤمنون (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mu'minun Sikiliza, Al-Mu'minun Tafsiri, Al-Mu'minun mp3, Al-Mu'minun pdf. Aya 8–12. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema