Ad-Dukhan · 53/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
يَلْبَسُونَ مِن سُندُسٍ وَإِسْتَبْرَقٍ مُّتَقَابِلِينَ ۝٥٣
Yalbasoona min sundusinw wa istbraqim mutaqaabileen
📖 Kwa Kiswahili
Watavaa hariri nyepesi na hariri nzito wakikabiliana,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 51-55 — Ad-Dukhan

51إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي مَقَامٍ أَمِينٍ
Hakika wachamngu watakuwa katika mahali pa amani,
52فِي جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Katika mabustani na chemchem,
53يَلْبَسُونَ مِن سُندُسٍ وَإِسْتَبْرَقٍ مُّتَقَابِلِينَ
Watavaa hariri nyepesi na hariri nzito wakikabiliana,
54كَذَٰلِكَ وَزَوَّجْنَاهُم بِحُورٍ عِينٍ
Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini.
55يَدْعُونَ فِيهَا بِكُلِّ فَاكِهَةٍ آمِنِينَ
Humo watataka kila aina ya matunda, na wakae kwa amani.
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
53Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 53

Sura Ad-Dukhan Aya 53 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Watavaa hariri nyepesi na hariri nzito wakikabiliana,

Sura Aya 53/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 51–55. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema