Ad-Dukhan · 54/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
كَذَٰلِكَ وَزَوَّجْنَاهُم بِحُورٍ عِينٍ ۝٥٤
Kazaalika wa zawwajnaahum bihoorin `een
📖 Kwa Kiswahili
Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 52-56 — Ad-Dukhan

52فِي جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Katika mabustani na chemchem,
53يَلْبَسُونَ مِن سُندُسٍ وَإِسْتَبْرَقٍ مُّتَقَابِلِينَ
Watavaa hariri nyepesi na hariri nzito wakikabiliana,
54كَذَٰلِكَ وَزَوَّجْنَاهُم بِحُورٍ عِينٍ
Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini.
55يَدْعُونَ فِيهَا بِكُلِّ فَاكِهَةٍ آمِنِينَ
Humo watataka kila aina ya matunda, na wakae kwa amani.
56لَا يَذُوقُونَ فِيهَا الْمَوْتَ إِلَّا الْمَوْتَةَ الْأُولَىٰ ۖ وَوَقَاهُمْ عَذَابَ الْجَحِيمِ
Humo hawataonja mauti ila mauti yale ya kwanza, na (Mwenyezi Mungu) atawalinda na adhabu ya Jahannamu,
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
54Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 54

Sura Ad-Dukhan Aya 54 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini.

Sura Aya 54/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 52–56. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema