Ar-Rahman · 30/78
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ar-Rahman
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ۝٣٠
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
📖 Kwa Kiswahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 28-32 — Ar-Rahman

28فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
29يَسْأَلُهُ مَن فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۚ كُلَّ يَوْمٍ هُوَ فِي شَأْنٍ
Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika mambo.
30فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
31سَنَفْرُغُ لَكُمْ أَيُّهَ الثَّقَلَانِ
Tutakuhisabuni enyi makundi mawili.
32فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Ar-RahmanFaharasa ya Qurani
78Aya
MadinaRevelation
30Aya

Tafsiri — Ar-Rahman 30

Sura Ar-Rahman Aya 30 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo…

Sura Aya 30/78 — Ar-Rahman الرحمن (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ar-Rahman Sikiliza, Ar-Rahman Tafsiri, Ar-Rahman mp3, Ar-Rahman pdf. Aya 28–32. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema