Al-Waqi'a · 27/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
وَأَصْحَابُ الْيَمِينِ مَا أَصْحَابُ الْيَمِينِ ۝٢٧
Wa as haabul yameeni maaa as haabul Yameen
📖 Kwa Kiswahili
Na wale wa mkono wa kulia, ni yepi yatakuwa ya wa kuliani?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 25-29 — Al-Waqi'a

25لَا يَسْمَعُونَ فِيهَا لَغْوًا وَلَا تَأْثِيمًا
Humo hawatasikia porojo wala maneno ya dhambi,
26إِلَّا قِيلًا سَلَامًا سَلَامًا
Isipo kuwa maneno ya Salama, Salama.
27وَأَصْحَابُ الْيَمِينِ مَا أَصْحَابُ الْيَمِينِ
Na wale wa mkono wa kulia, ni yepi yatakuwa ya wa kuliani?
28فِي سِدْرٍ مَّخْضُودٍ
Katika mikunazi isiyo na miba,
29وَطَلْحٍ مَّنضُودٍ
Na migomba iliyo pangiliwa,
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
27Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 27

Sura Al-Waqi'a Aya 27 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wale wa mkono wa kulia, ni yepi yatakuwa ya…

Sura Aya 27/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 25–29. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema