Al-Waqi'a · 36/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
فَجَعَلْنَاهُنَّ أَبْكَارًا ۝٣٦
Faja`alnaahunna abkaaraa
📖 Kwa Kiswahili
Na tutawafanya vijana,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 34-38 — Al-Waqi'a

34وَفُرُشٍ مَّرْفُوعَةٍ
Na matandiko yaliyo nyanyuliwa.
35إِنَّا أَنشَأْنَاهُنَّ إِنشَاءً
Hakika Sisi tutawaumba (Mahurulaini) upya,
36فَجَعَلْنَاهُنَّ أَبْكَارًا
Na tutawafanya vijana,
37عُرُبًا أَتْرَابًا
Wanapendana na waume zao, hirimu moja.
38لِّأَصْحَابِ الْيَمِينِ
Kwa ajili ya watu wa kuliani.
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
36Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 36

Sura Al-Waqi'a Aya 36 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tutawafanya vijana,

Sura Aya 36/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 34–38. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema