As-Saff · 2/14
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saff
يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ لِمَ تَقُولُونَ مَا لَا تَفۡعَلُونَ  ۝٢
Yaa ayyuhal lazeena aamanoo lima taqooloona maa laa taf`aloon
📖 Kwa Kiswahili
Enyi mlio amini! Kwa nini mnasema msiyo yatenda?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-4 — As-Saff

1سَبَّحَ لِلَّهِ مَا فِي ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَمَا فِي ٱلۡأَرۡضِۖ وَهُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلۡحَكِيمُ 
Vinamtakasa Mwenyezi Mungu viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Yeye ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
2يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ لِمَ تَقُولُونَ مَا لَا تَفۡعَلُونَ 
Enyi mlio amini! Kwa nini mnasema msiyo yatenda?
3كَبُرَ مَقۡتًا عِندَ ٱللَّهِ أَن تَقُولُواْ مَا لَا تَفۡعَلُونَ 
Yanachukiza vikubwa mno kwa Mwenyezi Mungu kuwa mnasema msiyo yatenda.
4إِنَّ ٱللَّهَ يُحِبُّ ٱلَّذِينَ يُقَٰتِلُونَ فِي سَبِيلِهِۦ صَفًّا كَأَنَّهُم بُنۡيَٰنٌ مَّرۡصُوصٌ 
Kwa hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wanao pigana katika Njia yake kwa safu kama jengo lilio kamatana.
As-SaffFaharasa ya Qurani
14Aya
MadinaRevelation
2Aya

Tafsiri — As-Saff 2

Sura Aya 2/14 — As-Saff الصف (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saff Sikiliza, As-Saff Tafsiri, As-Saff mp3, As-Saff pdf. Aya 1–4. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema