At-Takwir · 23/29
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Takwir
وَلَقَدْ رَآهُ بِالْأُفُقِ الْمُبِينِ ۝٢٣
Wa laqad ra aahu bilufuqil mubeen
📖 Kwa Kiswahili
Na hakika yeye alimwona kwenye upeo wa macho ulio safi.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 21-25 — At-Takwir

21مُّطَاعٍ ثَمَّ أَمِينٍ
Anaye t'iiwa, tena muaminifu.
22وَمَا صَاحِبُكُم بِمَجْنُونٍ
Na wala huyu mwenzenu hana wazimu.
23وَلَقَدْ رَآهُ بِالْأُفُقِ الْمُبِينِ
Na hakika yeye alimwona kwenye upeo wa macho ulio safi.
24وَمَا هُوَ عَلَى الْغَيْبِ بِضَنِينٍ
Wala yeye si bakhili kwa mambo ya ghaibu.
25وَمَا هُوَ بِقَوْلِ شَيْطَانٍ رَّجِيمٍ
Wala hii si kauli ya Shetani maluuni.
At-TakwirFaharasa ya Qurani
29Aya
MakkaRevelation
23Aya

Tafsiri — At-Takwir 23

Sura At-Takwir Aya 23 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na hakika yeye alimwona kwenye upeo wa macho ulio safi.

Sura Aya 23/29 — At-Takwir التكوير (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Takwir Sikiliza, At-Takwir Tafsiri, At-Takwir mp3, At-Takwir pdf. Aya 21–25. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema