Ad-Dukhan · 33/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
وَآتَيْنَاهُم مِّنَ الْآيَاتِ مَا فِيهِ بَلَاءٌ مُّبِينٌ ۝٣٣
Wa aatainaahum minal aayaati maa feehi balaaa`um mubeen
📖 Kwa Kiswahili
Na tukawapa katika ishara zenye majaribio yaliyo wazi.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 31-35 — Ad-Dukhan

31مِن فِرْعَوْنَ ۚ إِنَّهُ كَانَ عَالِيًا مِّنَ الْمُسْرِفِينَ
Ya Firauni. Hakika yeye alikuwa jeuri katika wenye kupindukia mipaka.
32وَلَقَدِ اخْتَرْنَاهُمْ عَلَىٰ عِلْمٍ عَلَى الْعَالَمِينَ
Na tuliwakhiari kwa ujuzi wetu kuliko walimwengu wenginewe.
33وَآتَيْنَاهُم مِّنَ الْآيَاتِ مَا فِيهِ بَلَاءٌ مُّبِينٌ
Na tukawapa katika ishara zenye majaribio yaliyo wazi.
34إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَيَقُولُونَ
Hakika hawa wanasema:
35إِنْ هِيَ إِلَّا مَوْتَتُنَا الْأُولَىٰ وَمَا نَحْنُ بِمُنشَرِينَ
Hapana ila kufa kwetu mara ya kwanza tu, wala sisi hatufufuliwi.
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
33Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 33

Sura Ad-Dukhan Aya 33 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tukawapa katika ishara zenye majaribio yaliyo wazi.

Sura Aya 33/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 31–35. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema