Ad-Dukhan · 32/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
وَلَقَدِ اخْتَرْنَاهُمْ عَلَىٰ عِلْمٍ عَلَى الْعَالَمِينَ ۝٣٢
Wa laqadikh tarnaahum `alaa `ilmin `alal `aalameen
📖 Kwa Kiswahili
Na tuliwakhiari kwa ujuzi wetu kuliko walimwengu wenginewe.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 30-34 — Ad-Dukhan

30وَلَقَدْ نَجَّيْنَا بَنِي إِسْرَائِيلَ مِنَ الْعَذَابِ الْمُهِينِ
Na bila ya shaka tuliwaokoa Wana wa Israili katika adhabu ya kuwadhalilisha,
31مِن فِرْعَوْنَ ۚ إِنَّهُ كَانَ عَالِيًا مِّنَ الْمُسْرِفِينَ
Ya Firauni. Hakika yeye alikuwa jeuri katika wenye kupindukia mipaka.
32وَلَقَدِ اخْتَرْنَاهُمْ عَلَىٰ عِلْمٍ عَلَى الْعَالَمِينَ
Na tuliwakhiari kwa ujuzi wetu kuliko walimwengu wenginewe.
33وَآتَيْنَاهُم مِّنَ الْآيَاتِ مَا فِيهِ بَلَاءٌ مُّبِينٌ
Na tukawapa katika ishara zenye majaribio yaliyo wazi.
34إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَيَقُولُونَ
Hakika hawa wanasema:
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
32Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 32

Sura Ad-Dukhan Aya 32 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tuliwakhiari kwa ujuzi wetu kuliko walimwengu wenginewe.

Sura Aya 32/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 30–34. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema