Ad-Dukhan · 34/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَيَقُولُونَ ۝٣٤
Inna haaa`ulaaa`i la yaqooloon
📖 Kwa Kiswahili
Hakika hawa wanasema:

🎧 Sikiliza


📜 Aya 32-36 — Ad-Dukhan

32وَلَقَدِ اخْتَرْنَاهُمْ عَلَىٰ عِلْمٍ عَلَى الْعَالَمِينَ
Na tuliwakhiari kwa ujuzi wetu kuliko walimwengu wenginewe.
33وَآتَيْنَاهُم مِّنَ الْآيَاتِ مَا فِيهِ بَلَاءٌ مُّبِينٌ
Na tukawapa katika ishara zenye majaribio yaliyo wazi.
34إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَيَقُولُونَ
Hakika hawa wanasema:
35إِنْ هِيَ إِلَّا مَوْتَتُنَا الْأُولَىٰ وَمَا نَحْنُ بِمُنشَرِينَ
Hapana ila kufa kwetu mara ya kwanza tu, wala sisi hatufufuliwi.
36فَأْتُوا بِآبَائِنَا إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ
Basi warudisheni baba zetu, ikiwa nyinyi mnasema kweli.
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
34Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 34

Sura Ad-Dukhan Aya 34 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika hawa wanasema:

Sura Aya 34/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 32–36. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema