Qaf · 13/45
Tafsiri Uandishi wa sauti — Qaf
وَعَادٌ وَفِرْعَوْنُ وَإِخْوَانُ لُوطٍ ۝١٣
Wa `Aadunw wa Fir`awnu wikhwaanu loot
📖 Kwa Kiswahili
Na A'di na Firauni na kaumu ya Lut'i.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 11-15 — Qaf

11رِّزْقًا لِّلْعِبَادِ ۖ وَأَحْيَيْنَا بِهِ بَلْدَةً مَّيْتًا ۚ كَذَٰلِكَ الْخُرُوجُ
Ili iwe ni riziki kwa waja wangu. Na tukaifufua kwa maji nchi iliyo kuwa imekufa. Kama hivyo ndivyo utakavyo kuwa ufufuaji.
12كَذَّبَتْ قَبْلَهُمْ قَوْمُ نُوحٍ وَأَصْحَابُ الرَّسِّ وَثَمُودُ
Kabla yao walikadhibisha kaumu ya Nuhu na wakaazi wa Rassi na Thamudi.
13وَعَادٌ وَفِرْعَوْنُ وَإِخْوَانُ لُوطٍ
Na A'di na Firauni na kaumu ya Lut'i.
14وَأَصْحَابُ الْأَيْكَةِ وَقَوْمُ تُبَّعٍ ۚ كُلٌّ كَذَّبَ الرُّسُلَ فَحَقَّ وَعِيدِ
Na wakaazi wa Machakani, na watu wa Tubbaa'. Wote hao waliwakanusha Mitume, kwa hivyo onyo likathibitika juu yao.
15أَفَعَيِينَا بِالْخَلْقِ الْأَوَّلِ ۚ بَلْ هُمْ فِي لَبْسٍ مِّنْ خَلْقٍ جَدِيدٍ
Kwani tulichoka kwa kuumba mara ya kwanza. Bali wao wamo katika shaka tu juu ya umbo jipya.
QafFaharasa ya Qurani
45Aya
MakkaRevelation
13Aya

Tafsiri — Qaf 13

Sura Qaf Aya 13 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na A'di na Firauni na kaumu ya Lut'i.

Sura Aya 13/45 — Qaf ق (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Qaf Sikiliza, Qaf Tafsiri, Qaf mp3, Qaf pdf. Aya 11–15. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema