Adh-Dhariyat · 20/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
وَفِي الْأَرْضِ آيَاتٌ لِّلْمُوقِنِينَ ۝٢٠
Wa fil ardi aayaatul lilmooqineen
📖 Kwa Kiswahili
Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 18-22 — Adh-Dhariyat

18وَبِالْأَسْحَارِ هُمْ يَسْتَغْفِرُونَ
Na kabla ya alfajiri wakiomba maghfira.
19وَفِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
20وَفِي الْأَرْضِ آيَاتٌ لِّلْمُوقِنِينَ
Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini.
21وَفِي أَنفُسِكُمْ ۚ أَفَلَا تُبْصِرُونَ
Na pia katika nafsi zenu - Je! Hamwoni?
22وَفِي السَّمَاءِ رِزْقُكُمْ وَمَا تُوعَدُونَ
Na katika mbingu ziko riziki zenu na mliyo ahidiwa.
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
20Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 20

Sura Adh-Dhariyat Aya 20 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini.

Sura Aya 20/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 18–22. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema